nesstv

connecting East Africans home and abroad.

Umoja ni fahari yetu
Undugu ndio nguvu
Chuki na ukabila
Hatutaki hata kamwe
Lazima tuungane, tuijenge nchi yetu
Pasiwe hata mmoja
Anaetenganisha

Chorus:
Naishi, Natumaini,
Najitolea daima Kenya,
Hakika ya bendera
Ni uthabiti wangu
Nyeusi ya wananchi na nyekundu ni ya damu
Kijani ni ya ardhi, nyeupe ya amani
Daima mimi mkenya
Mwananchi mzalendo

Kwa uchungu na mateso
Kwa vilio na uzuni
Tulinyakuliwa Uhuru
na mashujaa wa zamani
Hawakushtushwa na risasi
au kufungwa gerezani
Nia yao ukombizi kuvunja pingu za ukoloni

Chorus

CLIMAX:
Wajibu wetu
Ni Kuishi kwa upendo
Kutoka ziwa Mpaka pwani
Kaskazini na kusini

Repeat chorus

Tags: daima, eric, kenya, kenyan, lyrics, mkenya, wainaina

Comment

You need to be a member of nesstv to add comments!

Join nesstv

Our Sponsor

Tweet us


By TwitterButtons.net


www.nesstv.net on Facebook

Birthdays

Birthdays Tomorrow

Events

© 2010   Created by Oness

Badges  |  Report an Issue  |  Privacy  |  Terms of Service

Sign in to chat!
script type=